Mwanzi1 JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 6,000 Reaction score 4,589 May 24, 2017 #21 MK254 said: Mnakumbushiwa tu kwamba majanga ya ukame ni jambo la kawaida hata kwa hao mabwana zenu SA. Kila mkisikia janga la ukame Kenya huwa mnatiririka huku mkishabikia hadi uzi unafikia kurasa ishirini. Click to expand... Tukiongele Kenya tunaonge moja kwa moja na waKenya, sio nyinyi shida za SA mna mropokea Tanzania. Sasa na sisi tuwalaumu shida za South Sudan??
MK254 said: Mnakumbushiwa tu kwamba majanga ya ukame ni jambo la kawaida hata kwa hao mabwana zenu SA. Kila mkisikia janga la ukame Kenya huwa mnatiririka huku mkishabikia hadi uzi unafikia kurasa ishirini. Click to expand... Tukiongele Kenya tunaonge moja kwa moja na waKenya, sio nyinyi shida za SA mna mropokea Tanzania. Sasa na sisi tuwalaumu shida za South Sudan??