South America vs Europe

South America vs Europe

jac salum

Senior Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
183
Reaction score
129
Timu za taifa za ulaya nyingi ni vibonde maji.
Group la Portugal.
1.Switzerland
2.Portagal
3.Hungry
4.Faroe Islands
5.Andorra.
6.Letvia.
CR 7 anawafunga sana hawa ndio maana ana goli nyingi sana International, bara lao limejaa maboya. Ranks za Fifa hizo timu zimezidiwa na Taifa Stars[emoji16][emoji16], Cr 7 apige na wale Chile aone !!!![emoji5][emoji5]
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Nasikia kwa Chile amekiona cha moto
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Daah so sad nimehuzunika sana leo ureno kutolewa kwa penalti...tena 3-0
Jamaa alikua anasubiria penaiti ya mwisho ashangilie ionekane amelibeba taifa. Jamaa ananyota nzuri sana. Hata akiwa anashangilia anakuaga Man of the Match ; mf: Final: Ureno vs France. , Msimu uliosha kang'ara mechi 5 tu anapewa Balloon D'or
 
Jamaa alikua anasubiria penaiti ya mwisho ashangilie ionekane amelibeba taifa. Jamaa ananyota nzuri sana. Hata akiwa anashangilia anakuaga Man of the Match ; mf: Final: Ureno vs France. , Msimu uliosha kang'ara mechi 5 tu anapewa Balloon D'or
Daah ndio hivyo tena bahati haikuwa yake leo [HASHTAG]#CR7[/HASHTAG]
 
wale wapumbav watatu wameniudh kweli
07e40d4574c5240e5b7b8a1bd2318ec6.jpg
69a6748324037cda48231e9f70f3b5be.jpg
 
Man of the match Claudio Bravoooooooo shoga alitaka penalty ya mwisho aonekane yote jana kaambulia patupu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Shoga kaambulia goli mbili Tena moja dhidi ya vibonde New Zealand na lingine kwa wachovu Russia
 
Claudio bravo

Wangeacha ureno wapige penalty zote, mana jamaa alikuwa anadaka penalty mpaka raha, ahahahah
YULE SHOGA HATA NAFASI YA KUPIGA HAKUPATA.
 
Back
Top Bottom