mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,726
#Happynyerereday to everyone
Kwa hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya Wana muziki tofauti tofauti ...lakini mada hii imejikita kwa upande wa hip-hop
Ukanda wa kusini Tanzania especially songea ndipo wanapotoka wakali Hawa
1) Sugu
2) Prof j
3) Black rhino
4) Albert mangwea
5) Godzilla
6) Stereo
Pia kwa mikoa ya Lindi na mtwara
1) Jay moe
2) Juma nature ( Rap katuni)
Mbeya na iringa
1) Ay
2) Izo business
3) Young dee
4) Geez mabovu
5) Azma mponda
6) P the mc (mawenge)
7) Chidbenz ( mama ake kiasili ni mtu wa iringa)
Note: me ni mtu wa kaskazini but kwenye ukweli tuseme ukweli
Kwa hapa bongo hip-hop iko kusini......
Kwa hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya Wana muziki tofauti tofauti ...lakini mada hii imejikita kwa upande wa hip-hop
Ukanda wa kusini Tanzania especially songea ndipo wanapotoka wakali Hawa
1) Sugu
2) Prof j
3) Black rhino
4) Albert mangwea
5) Godzilla
6) Stereo
Pia kwa mikoa ya Lindi na mtwara
1) Jay moe
2) Juma nature ( Rap katuni)
Mbeya na iringa
1) Ay
2) Izo business
3) Young dee
4) Geez mabovu
5) Azma mponda
6) P the mc (mawenge)
7) Chidbenz ( mama ake kiasili ni mtu wa iringa)
Note: me ni mtu wa kaskazini but kwenye ukweli tuseme ukweli
Kwa hapa bongo hip-hop iko kusini......