Kilo moja kwa Tsh. 100 ni wapi? Mbona bei iko chini sana. Na je ni mbaazi za mavuno ya mwaka huu? Quality yake ikoje, japo kwa picha! Kama quality ni nzuri tunaweza kupata soko la nje.
Unaweza attach picha ya aina ya soya uliyo nayo?Soya 1500 kilo, mbaazi mungu jalia hata mteja wa 1000 akipatikana nauza nipe hilo soko mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaongea haya ukiwa nchi gani??pole sana mkuu.
hapo ndipo watu wa serikali wanapaswa kuonyesha maana ya uwepo wao ktk kuwezesha uhakika wa mzunguko wabiashara unaomsaidia mkulima.
Mapendekezo yapi mkuu wakati serikali yako inayojiita ya wanyonge inatunyonga.mkuu usilie tu hebu toa mapendekezo
Wapi hapo?
Hesabu zikikataa tunafuta uchaguzi2020 fanyeni kweli. , hata wakiiba kura hesabu zikatae
AhahahahaahWakuu habari.
Huku nikiwa nalia na mbaazi ndani , bado naangalia soya inavoozea ndani, na bado naangalia mahindi bei ilivo chini ambapo ukiuza gunia mbili ndio unapata mfuko mmoja wa mbolea naomba watu wa serikali mvae viatu vyetu wakulima muone kama mtafurahi, mnaudhi sana muda mwingine, tujengeeni chuki na sisi tutawalipa chuki uvumilivu unamwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mbao za miti binafsi?Serikali inahusika moja kwa moja na haya yanayoendelea wamepiga marufuku hata mbao za miti anayopanda mkulima zisiuzwe nje huku wakiwa hawana soko wala uwezo wa kununua chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app