enockino JF-Expert Member Joined Oct 14, 2014 Posts 273 Reaction score 171 Oct 12, 2022 #21 Adverse Effect said: Spare part za Honda sio tatizo, kama upo Dar/ Tanzania kuna jamaa ni dealers wa spare za Honda ni ZIZOU spare parts wapo mkabala na machinga complex. Click to expand... Msaada wa namba zake sisi wa mikoani tuwasiliane naye
Adverse Effect said: Spare part za Honda sio tatizo, kama upo Dar/ Tanzania kuna jamaa ni dealers wa spare za Honda ni ZIZOU spare parts wapo mkabala na machinga complex. Click to expand... Msaada wa namba zake sisi wa mikoani tuwasiliane naye
M masele paul Member Joined Jan 12, 2017 Posts 46 Reaction score 37 Oct 12, 2022 #22 Ligogoma said: Hapana Mkuu, nilibadilisha wazo njiani! Mie kazi zangu nyingi za porini na milimani, nikahisi nitaichosha mapema! Kuna zimwi nililichukua linaninyonya damu balaa ila na enjoy nalo sana safari ndefu na pori!! Click to expand... Ulichukua gari gani Boss
Ligogoma said: Hapana Mkuu, nilibadilisha wazo njiani! Mie kazi zangu nyingi za porini na milimani, nikahisi nitaichosha mapema! Kuna zimwi nililichukua linaninyonya damu balaa ila na enjoy nalo sana safari ndefu na pori!! Click to expand... Ulichukua gari gani Boss