Spare parts za Honda Crossroad

Spare part za Honda sio tatizo, kama upo Dar/ Tanzania kuna jamaa ni dealers wa spare za Honda ni ZIZOU spare parts wapo mkabala na machinga complex.
Msaada wa namba zake sisi wa mikoani tuwasiliane naye
 
Hapana Mkuu, nilibadilisha wazo njiani! Mie kazi zangu nyingi za porini na milimani, nikahisi nitaichosha mapema!

Kuna zimwi nililichukua linaninyonya damu balaa ila na enjoy nalo sana safari ndefu na pori!!
Ulichukua gari gani Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…