Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 991
Habari wadau,
Kuna rafiki yangu anaishi South Africa nilimpa wazo la tufanye partnership ya yeye kuwa ananiagizia spare za magari Tanzania, kwa magari ambayo vipuri vyake kwa Tanzania ni ghali au upatikanaji wake ni mgumu.
Ameniambia kwa South Africa spare za magari kama BMW au Range sio ghali sana. Sasa naomba wenye uzoefu wa biashara hii mnipe muongozo namna biashara inavyoenda kwa ujumla.
Yaani aina ipi ya magari spare zake ni ghali na ni dili kama zikija.
Asanteni sana.
Kuna rafiki yangu anaishi South Africa nilimpa wazo la tufanye partnership ya yeye kuwa ananiagizia spare za magari Tanzania, kwa magari ambayo vipuri vyake kwa Tanzania ni ghali au upatikanaji wake ni mgumu.
Ameniambia kwa South Africa spare za magari kama BMW au Range sio ghali sana. Sasa naomba wenye uzoefu wa biashara hii mnipe muongozo namna biashara inavyoenda kwa ujumla.
Yaani aina ipi ya magari spare zake ni ghali na ni dili kama zikija.
Asanteni sana.