Spea za magari Kariakoo

eazy900

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
349
Reaction score
124
Tafadhari kwa wale wataalam wa kuuza spea ni maduka au sehemu gani nawezaenda kununua kwa ajili ya kuuza either iwe Kariakoo au sehemu yoyote ambayo unafikiri wana bei nzuri, na kama una aidia ya kununua kutoka njee tupeane data pia.

Ahsanteni.
 
Kuna Saba general/Msimbazi.
Salama bearing/Msimbazi. Millenium cars accesories/Nyamwezi. Joy spare parts/Mafia/nyamwezi. Several spare/Mafia/sikuku. Mandalia batteries/Mafia. Alpha spare/Mrgro road/libya.na mengine mengi utayaona wakati unapoenda kwenye hayo maduka niliyokutajia.
 
Be forward wanauza spear used jumla na rejareja kwa bei poa kama unahitaji kuanza hio biashara nadhani watafaa. Unaagiza mzigo toka Japan.
 
Wakuu me pia ningependa kujua ni maeneo gani kwa dar naweza kupata spea za Bajaji kwa bei ya jumla me nipo mkoani na nataka kufungua duka la spea za bajaji na wiki ijayo natarajia kufika Dar kwa ajili ya kutafuta mzigo so naomba msaada ni maeneo nitapata bidhaa bora na kwa bei nzuri.
 

umetisha mkuu asante sana
 
Be forward wanauza spear used jumla na rejareja kwa bei poa kama unahitaji kuanza hio biashara nadhani watafaa. Unaagiza mzigo toka Japan.

thanks sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…