Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Mshana Jr ni mgonjwa wa kisaikolojiaKila post Anayopost Mshana Jr lazma Ubena Zomozi aende azawadie Dislike kwnini?
Ila kinachonifurahisha ni kwamba Amesoma Kila post zinazopostiwa na Mshana maana yale anafatilia somo pia
PDF sidhani ngoja nitulie nione cha kufanya maana mechi imeisha na tumepigwa mkonoMkuu tupia pdf kabisa tupite nayo
Mkuu umetumia njia gani kujua hilo.Mshana Jr ni mgonjwa wa kisaikolojia
Njia waliyotumia yanga leo kushinda goli 5 dhidi ya simba ndio nimeitumia iyoMkuu umetumia njia gani kujua hilo.
Haya bhna 🤣Njia waliyotumia yanga leo kushinda goli 5 dhidi ya simba leo ndio nimeitumia iyo
Kwenye hilo la mechi hata Mimi shabiki kindakindaki wa Simba nimedhalilishwa sana...PDF sidhani ngoja nitulie nione cha kufanya maana mechi imeisha na tumepigwa mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni huzuni na furaha za muda tuuuKwenye hilo la mechi hata Mimi shabiki kindakindaki wa Simba nimedhalilishwa sana...
Walijiongeza wakajifunza zaidi, mabaya wakaachana nayo wakachukua mazuri na kuyaendelezaWakuu ningependa kujua kwa wenzetu wazungu uchawi wanautumia hasa kwenye nyanja gani, tunatambua na kuona wachawi wa huku Africa kazi yao kuu ni kuharibu maendeleo,kuroga watu,kuua nk, hii inasababisha waafrica wengi kushindwa kutoboa kimaisha kuharibikiwa au kufa wasipokuwa strong kiroho hapa ni either wabobee kwa Mungu wa kweli au kwa waganga...
Huko ulaya Hali ikoje na wao Hali ni hii hii au wachawi wao hawana muda na kurogana??!
anakula mpaka chuma just imagineBehemoth ni kiumbe wa KIROHO mwenye sifa ya ulafi na anakula kila kitu pasipo kukoma. Anakula watoto wakiwa tumboni, unashangaa mimba zinatoka bila ya sababu yoyote, unazaa watoto wanakufa vifo vya mapema (pre mature death) etc.