Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hapo umetaja sehemu mbili tofauti au moja?
Sisi wala kuku tunaruhusiwa kuja hapo?
Yani ulichukua hiyo Hela ukanunua nyama ukala na Familia Yani utabarikiwa sana
Hio Skewers ndio wapi maana hilo jina limekaa kibabe sana. Simba wala nyama tupo mjengoni.
Kwahio kiingilio ni mbau tu🤣 vipi bia zipo?Ukifika muhimbili pale kona ya kwaza kushoto kama unaenda sarenda au njia ya kuingilia takukuru
Kwahio kiingilio ni mbau tu[emoji1787] vipi bia zipo?
Wanauza na nyama ya bata ?
Ngoja nimpange mtu wangu fidenge tutie maguu paleNyama zote unazo zijua wewe ni kula kujigalagaza
Ngoja nimpange mtu wangu fidenge tutie maguu pale
Kama hakuna Bia hapafaiPombe huruhusiw kunywa ila kinywaji unalipia na kama ukiingia nacho hakikisha hawakioni
Kwani wanaruhusu mtungo? Au kila mtu lazma aache mbau?Unistue tajiri basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hakuna Bia hapafai
Kwani wanaruhusu mtungo? Au kila mtu lazma aache mbau?
Kama hakuna Bia hapafai