Oi oi leo uwanja wa kine
si kutakuwa na fainal ya michuano ya ndondo cup kati ya timu zifuatazo
MISOSI VS GOMS UNITED
Hii itakuwa mechi ya kukata na shoka mm karata yangu ipo kwa MISOSI FC
Naomba na ww ndgu Yangu useme karata yako unampa nan?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.