Special :Questions And Answers (Q and A)

kwanini mtoto ndabile miezi 7 akizaliwa anaishi ila miezi nane anakufa?
kwanini ukinywa sumu unakunywa maziwa?
hivi sisimizi wangapi wanaweza kubeba laptop yenye kilo2?
 
Kwanini mafuta tunaambiwa yote yanachimbwa chini ila yana rangi tofauti tofauti na harufu kadhalika na matumizi tofauti {mfano mafuta ya taa petroli dizeli lami nk}
 
Ooh It's Okay.
 
wapi ndo na appear Sana.

Nipo nasoma comments za wadau mbona umeniita nikaja na mda ule nikaitika Abee" nipo .
Yeah vizuri I like it na unaonekana ur an honest girl
 
Jamani tunaomba anayejua majibu ya maswali yanayoulizwa atujibu
Thread ipo kwa ajili hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…