Special Thread: Bei ya Madafu leo | Tanzania Shillings Exchange Rate

Special Thread: Bei ya Madafu leo | Tanzania Shillings Exchange Rate

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Wakuu hapa tuwe tunapeana bei za madafu za kila siku kwa kutumia bei zilizotundikwa kwenye bureau de change mbalimbali hapa Tanzania.

Imebidi nianzishe uzi huu baada ya kushindwa kujua gharama za madafu kutokana na sehemu niliyoko sasa.

Karibuni.
 
Back
Top Bottom