Special Thread: Job Opportunities at ITM Tanzania Ltd

Vipi wana kata
Hawa jamaa nimefanya nao interview recently, sio wabaya..sema watu wanaofanyia watu usaili ndio inabidi waimprove..sio MATAPELI kwa kweli.wana office zao nzuri tu pale tanzanite tower.
mshahara mara baada ya kukupatia kazi after kukamilisha Interview na wao ?! Maana mimi ninavyo ona hawa ni kama madalali wa kazi tuu.
Sasa sijajua na wao wana faidika vipi mara baada ya kukupatia kazi husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…