Amen mkuu Samaritan, tunapaswa kufunga na kuiombea nchi, mafundisho ya imani yanatufunza hivyo mkuu!No kweli chakii kuamka asubuhi mzima sio alarm wala juhudi binafsi, ni kujaliwa na Mungu.
Binafsi, nikutakie usiku mwema na wanachama wote wa JF. Kikubwa tuendelee kuwa watu wa shukrani na kudumisha upendo huku tukiendelea kuliombea taifa letu.
Asante Mkuu, Nawe Pia!!
Good night mkuu, and thank you.
thank you tooGood night mkuu, and thank you.
thank you tooAsante Mkuu, Nawe Pia!!