Special thread kwa Nguli

aaaaah!!! This thread is soooo touching!!!!!! I like it!!!!
Be openn Halima..Nguli touching you or thread?...
This is a place where we dare to talk openly...dont feel bad to admit that you have feelings for Nguli...He is jst a calm and gentleman Halima!
 
Nguli hata mie nakumiss sana mtu wangu siku hizi umekuwa mpole ..
kumbe unaandaa single naomba kiitikio sauti yangu isikosane...
 
Be openn Halima..Nguli touching you or thread?...
This is a place where we dare to talk openly...dont feel bad to admit that you have feelings for Nguli...He is jst a calm and gentleman Halima!
..hehehehe
AHSANTE kwa kuyajali ''masilahi ya wapwaaz''

SENKSI
 
mmmh Nguli MAXSHIMBA ndo mchungaji mwenyewe au atakodisha mchungaji???

Bht karibu jukwaa la dini utamwona anavyohubiri ni mchungaji wa kimataifa.

hivi nguli,
huyo korokwini yukoje yukoje?.....😀

Kloroquin anafanana sana na YO YO ila yeye anapiga yale mambo yetu ya weight.
 
mtoto wa watu alienda kufanya nini topeni jamani?
Namuonea huruma sana, sijui nani atamnasua.
Haha hahaaaa haaaaa

Hahahaha una vituko wewe!!!
Vp upo Mombasa nini maana waarabu wa Pemba wajuana kwa vilemba.
 
Bht karibu jukwaa la dini utamwona anavyohubiri ni mchungaji wa kimataifa.

wasaidizi wakina October, Weboroya (i can imagine - kule kwenye lile jukwaa hawa jamaa huwa wananikosha sana)

kuombewa watatoza bei gani (kama unafununu)
 
Hahahaha una vituko wewe!!!
Vp upo Mombasa nini maana waarabu wa Pemba wajuana kwa vilemba.


Kwani Bujibuji mwarabu na yeye? sasa wale wa Oman na Dubai huko watasemaje hahahahahahah mpwa una uchokozi kweli weye
 
 
 
Kwani Bujibuji mwarabu na yeye? sasa wale wa Oman na Dubai huko watasemaje hahahahahahah mpwa una uchokozi kweli weye

Hahahaha mpwa si unajua ukiuza utumbo usiogope nzi.
Kukesha ni mbwembwe kikubwa ni kuelewa.
 
Hahahaha mpwa si unajua ukiuza utumbo usiogope nzi.
Kukesha ni mbwembwe kikubwa ni kuelewa.


Ewaa,na using'ang'anie kujibandika gunia la misumari huku kichwa ni KIPARA!
 
 
Ewaa,na using'ang'anie kujibandika gunia la misumari huku kichwa ni KIPARA!

Hahahaha mpwa bana....
Bia umekunywa moja supu ya nini sasa asubuhi?
 
huyo mkuu nguli mmemchokoza wenyewe sasa ........

anyway karibu sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…