Be openn Halima..Nguli touching you or thread?...aaaaah!!! This thread is soooo touching!!!!!! I like it!!!!
..heheheheBe openn Halima..Nguli touching you or thread?...
This is a place where we dare to talk openly...dont feel bad to admit that you have feelings for Nguli...He is jst a calm and gentleman Halima!
mtoto wa watu alienda kufanya nini topeni jamani?hahaha unamaanisha kanaswa kwenye tope ameshindwa kurudi?
mmmh Nguli MAXSHIMBA ndo mchungaji mwenyewe au atakodisha mchungaji???
hivi nguli,
huyo korokwini yukoje yukoje?.....😀
duh!Kloroquin anafanana sana na YO YO ila yeye anapiga yale mambo yetu ya weight.
Bht karibu jukwaa la dini utamwona anavyohubiri ni mchungaji wa kimataifa.
wasaidizi wakina October, Weboroya (i can imagine - kule kwenye lile jukwaa hawa jamaa huwa wananikosha sana)
kuombewa watatoza bei gani (kama unafununu)
Hahahaha una vituko wewe!!!
Vp upo Mombasa nini maana waarabu wa Pemba wajuana kwa vilemba.
Hahahaha una vituko wewe!!!
Vp upo Mombasa nini maana waarabu wa Pemba wajuana kwa vilemba.
Bht karibu jukwaa la dini utamwona anavyohubiri ni mchungaji wa kimataifa.
wasaidizi wakina October, Weboroya (i can imagine - kule kwenye lile jukwaa hawa jamaa huwa wananikosha sana)
kuombewa watatoza bei gani (kama unafununu)
Ha ha ha wewe mchokozi wewe! hilo swala linahitaji thread mpya.
Ha ha ha wewe mchokozi wewe! hilo swala linahitaji thread mpya.
hee heeeee haya kwa heshima yako nalitoa swali langu!!!!
Ila sincerely niwamis sana we na Burn (hii ni kutoka moyo wangu wa nyama kabsaaa no longolongo hapo)
ukimwona mpe salamu zangu za upendo wa Agape plz!!!
Hahahaha mpwa si unajua ukiuza utumbo usiogope nzi.
Kukesha ni mbwembwe kikubwa ni kuelewa.
hee heeeee haya kwa heshima yako nalitoa swali langu!!!!
Ila sincerely niwamis sana we na Burn (hii ni kutoka moyo wangu wa nyama kabsaaa no longolongo hapo)
ukimwona mpe salamu zangu za upendo wa Agape plz!!!
Tunashukuru kwa kunikumbuka nitakuja kukutembelea kipindi hichi cha vacation. Burn sijamwona siku nyingi na sina taarifa zozote za huyu ndg yetu ila naamini he will soon be back.
Hahaha unamaanisha kanaswa kwenye tope ameshindwa kurudi?