Special thread kwa Nguli

Mh zamani mlikuwa na upendo humu!!!!!!
 
Mh zamani mlikuwa na upendo humu!!!!!!

wacha tu Gaga....enzi hizo ulikuwa hutaki kubanduka JF.....ilikuwa ni burudani tosha.....siku hizi sijui imekuwaje
 
wacha tu Gaga....enzi hizo ulikuwa hutaki kubanduka JF.....ilikuwa ni burudani tosha.....siku hizi sijui imekuwaje

Siku hizi maharamia kibao
 
Enzi za kudumisha Mila....unazikumbuka eh?

Siku hizi ni enzi za "Kutafuta mchumba"

na hao wachumba hatujui kama wanapatikana au laa....enzi nzile ilikuwa ukidumisha mila inajulikana kabisa mila ilidumu hakukuwa na longolongo......kama siku zilikuwa zinaganda tungegandishia pale pale.....
halafu na wewe.......nkiki??
 
wacha tu Gaga....enzi hizo ulikuwa hutaki kubanduka JF.....ilikuwa ni burudani tosha.....siku hizi sijui imekuwaje
Hivi haiwezekana kurudi kama zamani?
 
na hao wachumba hatujui kama wanapatikana au laa....enzi nzile ilikuwa ukidumisha mila inajulikana kabisa mila ilidumu hakukuwa na longolongo......kama siku zilikuwa zinaganda tungegandishia pale pale.....
halafu na wewe.......nkiki??

Enzi za kina Naniliu unazikumbuka?
 
kuna mwehu fcbk alishawahi kuleta humu eti kaambukizwa ngoma na mtu wamekutana online.bora ndoa zifungwe humu na watoto wazaliwe humu humu manake watu hawajui how to deal with strangers,lol!
Yaani bila hata ya kukutana uso kwa uso?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…