Halafu yale mambo itakuwaje sasa kuyatimiza au ndio skype
Duiani kuna mambo na kila siku wanabuni kitu kipya cha kufanya dhambi lol huko miaka kumi ijayo sijui dunia itakuwajepia yale yana utaalamu wake.....kuna thread moja humu ndani ililetwa kuna mtu anatafuta mtu wa kuyananihii nae online....vituko i vingi dear
Mabomu je ya gongo la mboto?jamani tuulize vizuri asije akawa kwenye walioounguziwa vibanda vyao tukamsahau kabisa
karibu mbe