sadiq sj
Member
- Jul 29, 2018
- 41
- 33
Kupitia thread hii ,wana JF naombeni tujuzane historia na mambo tofauti tofauti yaliyo weza kutokea katika siku husika ambayo utakuwa na kumbukumbu nayo.
Mchangiaji unaweza ukaelezea kisa chochote ambacho unakikumbuka katika siku husika au kisa cha jambo lolote lile inaweza ikawa vita au siku ya kuzaliwa ya mtu yoyote maarufu.
Nitaanza kwa kutaja baadhi ya matukio muhimu yaliyoweza kutokea siku kama ya leo 3 march miaka iliyopita pamoja na sikukuu ambazo zipo katika tarehe husika, na baadae nitaelezea kisa kilicho nikuta siku kama ya leo miaka ya nyuma kidogo.
====
Tarehe 8 Machi ni siku ya 67 ya mwaka (ya 68 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 298.
MATUKIO: WAFUATAO NI MOJA YA WATU MAARUFU WATU WALIO ZALIWA SIKU KAMA YA LEO
1495 - Mtakatifu Yohane wa Mungu, mtawa nchini Hispania
1879 - Otto Hahn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1944
1886 - Edward Kendall, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950
1929 - Hebe Camargo, mwimbaji wa Brazil
1960 - Jeffrey Eugenides, mwandishi kutoka Marekani
WAFUATAO NI MOJA YA WATU MAARUFU WALIO POTEZA MAISHA SIKU KAMA YA LEO.
1144 - Papa Celestino II
1550 - Mtakatifu Yohane wa Mungu, mtawa nchini Hispania
1869 - Hector Berlioz, mtunzi wa opera kutoka Ufaransa
1874 - Millard Fillmore, Rais wa Marekani (1850-1853)
1923 - Johannes Diderik van der Waals, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1910
1930 - William Howard Taft, Rais wa Marekani (1909-1913)
1995 - Paul Horgan, mwandishi kutoka Marekani
Siku ya kimataifa ya wanawake inasherehekewa katika nchi nyingi kwenye tarehe hii. Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Yohane wa Mungu, Ponsyo wa Karthago, Apoloni na Filemoni, Felisi wa Dunwich, Teofilati wa Nikomedia, Emanueli Miguez n.k
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mchangiaji unaweza ukaelezea kisa chochote ambacho unakikumbuka katika siku husika au kisa cha jambo lolote lile inaweza ikawa vita au siku ya kuzaliwa ya mtu yoyote maarufu.
Nitaanza kwa kutaja baadhi ya matukio muhimu yaliyoweza kutokea siku kama ya leo 3 march miaka iliyopita pamoja na sikukuu ambazo zipo katika tarehe husika, na baadae nitaelezea kisa kilicho nikuta siku kama ya leo miaka ya nyuma kidogo.
====
Tarehe 8 Machi ni siku ya 67 ya mwaka (ya 68 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 298.
MATUKIO: WAFUATAO NI MOJA YA WATU MAARUFU WATU WALIO ZALIWA SIKU KAMA YA LEO
1495 - Mtakatifu Yohane wa Mungu, mtawa nchini Hispania
1879 - Otto Hahn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1944
1886 - Edward Kendall, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950
1929 - Hebe Camargo, mwimbaji wa Brazil
1960 - Jeffrey Eugenides, mwandishi kutoka Marekani
WAFUATAO NI MOJA YA WATU MAARUFU WALIO POTEZA MAISHA SIKU KAMA YA LEO.
1144 - Papa Celestino II
1550 - Mtakatifu Yohane wa Mungu, mtawa nchini Hispania
1869 - Hector Berlioz, mtunzi wa opera kutoka Ufaransa
1874 - Millard Fillmore, Rais wa Marekani (1850-1853)
1923 - Johannes Diderik van der Waals, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1910
1930 - William Howard Taft, Rais wa Marekani (1909-1913)
1995 - Paul Horgan, mwandishi kutoka Marekani
Siku ya kimataifa ya wanawake inasherehekewa katika nchi nyingi kwenye tarehe hii. Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Yohane wa Mungu, Ponsyo wa Karthago, Apoloni na Filemoni, Felisi wa Dunwich, Teofilati wa Nikomedia, Emanueli Miguez n.k
Sent from my iPhone using JamiiForums