Special Thread: Mashine za aina zote katika miradi midogo na mikubwa

Special Thread: Mashine za aina zote katika miradi midogo na mikubwa

Cainan

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
461
Reaction score
540
Habarini wakuu,

Nimeamua kuandaa uzi collective kwa ajili ya mashine mbalimbali ambazo zinatumika katika shughuli mbalimbali hapa nchini.

Nitakuwa natoa maelezo ya machine pamoja na picha (muonekano) na bei yake

Post ntazipanga katika sytematic order ambayo itawezesha mtu kupata picha ua uelewa wa haraka

Nitaanza kupost soon.

Unaweza ukawasiliana nami kwa namba hizi 0763233363/0684670925
 
AIR COMPRESSOR (KOMPRESA ZA UPEPO )

Ntaanza na aina hizi za compressor ambazo zimegawanyika kutokana na aina ya mahitaji
i) KOMPRESA ZA MIGODINI
hizi ni kompresa maalumu ambazo zinatumika katika shughuli za migodini hasa kuchoronga au kupasua miamba , kompresa hizi ni kubwa kiumbo na zinaendeshwa na engine kubwa ya mafuta (24 HP) pamoja kichwa chenye piston 3 , mfumo wa uendeshaji wa kompresa hizi ni tofauti na hizi nyingine , kompresa hizi huifadhi upepo tu wakati ipo active na ikizima basi na upepo unaisha kwenye mtungi kwa maana hiyo zinatumika tu wakati engine inawaka na ikizima basi hamna tena upepo
Kompressor hizi zinauzwa na pneumatic Digger (Y24) pamoja na air hose pipe ambayo inakuwa (50 metres)
Gharam ya compressor hii ni 8,500,000 ikiwa complete na ikiwa peke yake ni 6,500,000 pia kichwa cha compressor peke yake 3,000,000
InShot_20240425_095613753.jpg
 
ii) KOMPRESA ZA KUJAZA UPEPO
katika kundi hili kikawaida kompresa ndgogo kabisa yenye uwezo wa kujaza upepo ni lita 50( hii itumike kwa pikipiki tu ) ila kwa upande wa pili ni kompressor za magari ambapo kitu kikubwa ambacho kinaangaliwa ni uwezo wa compresa , vitu kama ujazo wa mtungi , idadi ya piston pamoja na uwezo wa mota au ukubwa wa engine(HP) pia kitu kingine cha kuzingatia ni electrical installation ya eneo ambalo unafanyia kazi , kama ni single phase basi aina ya motor ambayo itakuwa kwenye kompresola yako hakikisha nayo iwe single phase (220-240v) vivyohivyo kwa 3 phase nayo hakikisha iwe 380v
Pia zingatia kama hakuna umeme basi itabidi uwe na kompresa inayotumia mafuta na kama kuna umeme unaweza ukawa na ya umeme pia , kwa maeneo ambayo ni korofi umeme unakata hovyo unaweza ukachukua 2 in 1 yani umeme pamoja na mafuta
Gharama za kompresa
Lita 50 (belt driven)>>650,000
Lita 100 (umeme)>>> 950,000
Lita 100 (mafuta)>> 1,150,000
Lita 150 (umeme)>>1,150,000
Lita 200 (umeme)>> 1,350,000
Lita 200 (2 in 1)>>>1,750,000
Lita 300 (umeme)>> 1,850,000
Lita 300 (2 in 1)>> 2,450,000
Lita 500 (umeme)>>3,300,000
Lita 500 (2 in 1)>> 4,500,000

Cha kuzingatia ni kwamba hizi compressor zinakuja zikiwa configured kutoka kiwandani , kwa mteja ambaye anaona angependa kuifanyia mabadiliko compressor yake inawezekana kwa mfano kompresa ya lita 200 kuibadilishia motor kutoka 3 hp hadi 5 hp na lia kubadilisha kichwa cha kompresa inawezekana kutoka 2 piston head hadi 3 piston head kulingana na mahitaji yako mteja

ANGALIZO, matatizo makubwa kwenye hizi compressor yanapatikana kutokana na uzembe wa operator kutozingatia uwekaji wa oil (aina pamoja na kubadilisha oil) tatizo hili upelekea uharibifu mkubwa sana kwenye piston za kompressor head na pia kwa compressor za umeme capacitor zinaungua sana kutokana na power surge
InShot_20240425_112857525.jpg
InShot_20240425_100147543.jpg
InShot_20240425_100406781.jpg
InShot_20240425_100027607.jpg
InShot_20240425_095804968.jpg
 
ii) KOMPRESA ZA KUJAZA UPEPO
katika kundi hili kikawaida kompresa ndgogo kabisa yenye uwezo wa kujaza upepo ni lita 50( hii itumike kwa pikipiki tu ) ila kwa upande wa pili ni kompressor za magari ambapo kitu kikubwa ambacho kinaangaliwa ni uwezo wa compresa , vitu kama ujazo wa mtungi , idadi ya piston pamoja na uwezo wa mota au ukubwa wa engine(HP) pia kitu kingine cha kuzingatia ni electrical installation ya eneo ambalo unafanyia kazi , kama ni single phase basi aina ya motor ambayo itakuwa kwenye kompresola yako hakikisha nayo iwe single phase (220-240v) vivyohivyo kwa 3 phase nayo hakikisha iwe 380v
Pia zingatia kama hakuna umeme basi itabidi uwe na kompresa inayotumia mafuta na kama kuna umeme unaweza ukawa na ya umeme pia , kwa maeneo ambayo ni korofi umeme unakata hovyo unaweza ukachukua 2 in 1 yani umeme pamoja na mafuta
Gharama za kompresa
Lita 50 (belt driven)>>650,000
Lita 100 (umeme)>>> 950,000
Lita 100 (mafuta)>> 1,150,000
Lita 150 (umeme)>>1,150,000
Lita 200 (umeme)>> 1,350,000
Lita 200 (2 in 1)>>>1,750,000
Lita 300 (umeme)>> 1,850,000
Lita 300 (2 in 1)>> 2,450,000
Lita 500 (umeme)>>3,300,000
Lita 500 (2 in 1)>> 4,500,000

Cha kuzingatia ni kwamba hizi compressor zinakuja zikiwa configured kutoka kiwandani , kwa mteja ambaye anaona angependa kuifanyia mabadiliko compressor yake inawezekana kwa mfano kompresa ya lita 200 kuibadilishia motor kutoka 3 hp hadi 5 hp na lia kubadilisha kichwa cha kompresa inawezekana kutoka 2 piston head hadi 3 piston head kulingana na mahitaji yako mteja

ANGALIZO, matatizo makubwa kwenye hizi compressor yanapatikana kutokana na uzembe wa operator kutozingatia uwekaji wa oil (aina pamoja na kubadilisha oil) tatizo hili upelekea uharibifu mkubwa sana kwenye piston za kompressor head na pia kwa compressor za umeme capacitor zinaungua sana kutokana na power surgeView attachment 2973516View attachment 2973518View attachment 2973519View attachment 2973520View attachment 2973521
iii) compressor za kupulizia rangi
Hapa utakutana na compressor ambazo ujazo wake huwa lita 25 hadi 50 , ambapo kompresa hizi zinatumia umeme wa single phase 220v - 240v ambapo mteja anapata pipe ya compressa mita 10 pamoja na Gun
InShot_20240425_100305680.jpg


Gharama
Lita 25 >>>330,000
Lita 50 >>> 430,000
 
Sehemu inayofata ntaelezea Car wash baada ya muda ntakuwa nmecover sehem kubwa ya mashine , mashine zipo nyingi sana na kila siku zinazidi kuboreshwa na kuongezeka aina
 
Sehemu inayofata ntaelezea Car wash baada ya muda ntakuwa nmecover sehem kubwa ya mashine , mashine zipo nyingi sana na kila siku zinazidi kuboreshwa na kuongezeka aina
Weka na mashine basic za welding na carpentry.
 
Welding Machines
Kuna aina 4 maarufu za kuchomelea hapa Tz
-MMA/ARC / TB welding machine
MMA (manual metal arc welding ) hii ni aina ya welding ambayo huuisha matumizi ya electrode rod(stick welding) kama vile E6013 , technology hii inaweza kuchoma vitu kama cast iron , stainless steel na steel , kupitia MMA unaweza kulazimisha kuchoma Aluminium lakini sio njia sahihi
Zifatazo ni mashine ambazo zinaanguka katika kundi hili

TB 200 140,000
TB 250 160,000
TB 300 190,000
TB 400 225,000

ARC 400S 250,000
ARC 500S 270,000
ARC 630S 300,000

MMA 300S 350,000
MMA 400S 750,000

-MiG welding (Metal Inert Gas)
Aina hii ya welding inahusisha uchomaji wa aluminium vizuri zaidi , unaweza kuchomq pia steel na stainless steel , pia mashine hizi za mig zina 2 function ,(MMA + MiG)

Technology ya MiG welding ni tofauti kidogo , hapa hatutumii stick , bali tunatumia Roller bundle wire (kila aina ya material yanayochomelewa yana aina ya wire wake ) , Gas huzuia further oxidation process na hivo huongeza ufanisi katika uchomeleaji wa vitu kama aluminium kwa sababu ya melting point yake ni ndogo

Hivyo basi kwa mtu atakaye kuwa na mashine ya mig atakuwa hana haja ya kuwa na mashine ya MMA au arc kwa sababu inaweza kufanya kazi zote mbili kwa pamoja , gas ambayo hutumiwa zaidi kwenye MiG welding ni mixture ya (Argon + Co2) , hivyo basi kwa mashine hii mtumiaji atahitaji kuwa na miundombinu ya gas
Mashine zilizopo za mig

MiG 238 550,000
MiG 250 680,000
MiG 280 780,000
MiG expert 175 900,000

TiG (Tungsten inert Gas)
Hii ni aina nyingine ya welding ambayo ni maalumu kabisa kwa ajili ya uchomeleaji wa aluminium na thin metals nyingine , inachoma vizuri sana na haiachi slags kama ya STICK WELDING

Kwa TiG welding tunatumia Tungsten electrode pamoja na Gas kama Argon (Ar) au Helium (He) , uchomeleaji wa kutumia Tig Welding unahitaji operator mwenye ujuzi mkubwa na uzoefu tofauti na aina nyingine za welding , hapa vinachomelewa vitu kama aluminium sheets , au pipelines, meli , ndege na vitu vingine hutumia aina hii ya welding
Mashine za TiG zinazopatikana
Tig 200 900,000
Tig 250,00 1,100,000
Tig 300 1,300,000
inshot_20240330_151204132-jpg.2976265

InShot_20240330_135924797.jpg
 

Attachments

  • InShot_20240330_151204132.jpg
    InShot_20240330_151204132.jpg
    1.3 MB · Views: 48
Ntaweka vizuri picha kwa kutumia desktop , application ina shida kidogo kwenye ku apload picha
 
Naomba uniwekee mchananuo wa mashine za kuoka mikate na maandazi zinazogusa hatua zote.

N:B, Ziwe mashine za kiwango cha chini na kati kuelekea chini.

cc
Cainan
 
Back
Top Bottom