Wewe wa kunisimanga mimi hivyo kweli? [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Pole Shem...pole sana..
Mvumilie tu Shem wangu..Mimi mwenyewe namvumilia na vingi sina namna....
Yatakwisha[emoji28]
Sikua na ham kivileAkakuacha na hamu zako masikini[emoji1787][emoji1787]
Pole sana.
Hata mimi naongea kama yeye.Sikua na ham kivile
Jinsi alivyokua anaongea n.k
Kuna jinsi nilitamani hata nione anafananaje angalau ningeridhika.
Anza kwanza na wa jeiefuTuwataje tuliowamiss huku jeiefu au hata huku kitaa poa tu?
[emoji38] [emoji1787] [emoji23]Hata mimi naongea kama yeye.
Si umesema jinsi alikuwa anaongea[emoji1787][emoji1787][emoji38] [emoji1787] [emoji23]
Dunia inaenda kasi sana!
Umejuaje unaongea kama yeye?
So ukajiongeza mazima [emoji38]Si umesema jinsi alikuwa anaongea[emoji1787][emoji1787]
Si ndio.So ukajiongeza mazima [emoji38]
Mkuu we ni Ke/Me?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika yatakwisha, sema nitakuwa nimechoka sana!
Kuna sehem unapitaga kwa kunyata sana, kivuli chako sikioni mdaaaa![emoji39]
Nyieeeeee....My babe[emoji173]
Ni wewe tu utakavyoamua ni sawa mkuu [emoji1787]Si ndio.
Wewe unataka niwe me au ke?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mimi naongea kama yeye.
Hovyoooo!Nyieeeeee....
Shem usikubali huu Uwizi[emoji28][emoji28]
Mie ke, halafu hiko jina la mkuu limekaa kigumu mno bwana.Ni wewe tu utakavyoamua ni sawa mkuu [emoji1787]
We mama hebu kawapikie watoto.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So umeamua kua Ke?lolMie ke, halafu hiko jina la mkuu limekaa kigumu mno bwana.
MfyuuuuuuHovyoooo!
Kwani hata nimeamua sasa!! Sijaamua mbona!So umeamua kua Ke?lol
Mkuu ulielewi,nijaribu kutafuta jina laini sio?
Napendelea mkuu sababu hatufahamiani jinsia zetu.
Bhasi nitakuita nipendavyo.
Karibu tufuturu.Mfyuuuuuu