Mie ilishanitokea mbona kuna demu nilimpenda na mpaka leo nampe da ila ndio hivyo lazima tubaki kwenye makubalianoKukubali huwezi najua
Labla kama wewe ni mashine…
Siwezi kukupinga mzee wa migegedo
UnazinguaCc ERoni unaibiwa
Mie ilishanitokea mbona kuna demu nilimpenda na mpaka leo nampe da ila ndio hivyo lazima tubaki kwenye makubaliano
Nitapoa kaburiniAt last umekubali
Pole mkuu[emoji16]
pole sana mkuu
Hata wa kitaa
Anza kwanza na wa jeiefu
Mkwe nawe uzeeke sasa chaaah!! Kitakuwa kimebaki kipisi sasa[emoji2297][emoji2297]Nahofia kugonganisha treni mkwe...
Mkwe nawe uzeeke sasa chaaah!! Kitakuwa kimebaki kipisi sasa[emoji2297][emoji2297]
Unayatumia maandiko vile unataka eti? Umeshindikana.Tumepewa bure basi na tutor bure, aminaaa!
Unayatumia maandiko vile unataka eti? Umeshindikana.
njoo PM utoe key details.Am he,been here this whole time
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]kashindikana huyu!