BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Si ndo hao akina shiwalandau sjui nini nini hao akina dulla square na wehu wenzie ..kwanini mtu usifanye kazi kihalali, yani wewe flani na flani wakiwa na uhasama unapata hela..hio hata Mungu haikubali ni laana tuWatu wanafaidika na izi team so szani kama zitaisha labda wahusika wenyewe wawe responsible kuzirestisha in pisi
Mimi mtanzania napenda wanamuziki wote na napenda muziki wetu ufike mbali sana, kwani we naniHautaki team wewe kama nani?? Team Mond baada ya kushindwa ndo mnakuja na style hiii?? Mlidhani ni nyie tu mna watu??
Zima mic nizime tuzo!!
Ganda la muwa la jana ..... timu haziwezi kufa eti sababu ya walioanzisha zimewacost... Anyway kama mtanzania mpenda muziki wasanii wazuri sio hao wanaobebwa na media any way team Mond imewauma saanaMimi mtanzania napenda wanamuziki wote na napenda muziki wetu ufike mbali sana, kwani we nani
Vote vote vote..Tulieni kwanza mtv ema zipite sasa ivi ngoja tuendelee kuvote kwa wiz kid baada ya november 6 tutavunja team zote
Kweli umenena. Asiyekubali kushindwa si mshindani na wiz alvyoshinda kaishukuru team wizkid so team kila m2 anayo. Mwaka huu ilkua zamu ya wizkidKuna watu ni vichwa maji sana,KUKOSA AU KUPATA TUZO ZA KIMATAIFA HAKUATHIRIWI NA UTIMU,NA INGEKUWA HIVO BASI DIAMOND HASINGEJAZA KABATI,SIKU HAZIFANANI KUKOSA NA KUPATA NI SEHEMU YA USHINDANI,KWANI NI MARA NGAPI WIZKID ANAKOSA ........AU NA YEYE KWAO KUNA TIMU .......KWANI WALIOKOSA NI WATANZANIA TU ..........MBONA KUNA HIZI HAPA WAMEZIPATA.