Mzuri wa moyo na ustaarabu wa kuishi na watu ndivyo nilivyojaaliwa mkuu....uzuri wa sura Ni😩Unaonekana ni mdada mzuri afu mstaharabu😊
Epuka matapeliUnaonekana ni mdada mzuri afu mstaharabu😊
Hakuna wadada wa jf hapo mkuu hizo ni picha za mitandaoni huko acha kudanganyikaWadada wa jf wamejaliwa😊
Hapana sijawahi kujaribu ila nakutaadhalisha tu mkuuUshapigwa na kitu kizito nin😂😂😂
wadada wa jf 90% ni viuma chakavuHahahahhahah nimeona ata mim hao ni wadada wa insta
Acha kudanganganyika mkuu🤣ni wanawake wachache mpo hivyo inanonesha una uzuri wa asili
Asante Sanani wanawake wachache mpo hivyo inanonesha una uzuri wa asili
Chidi BenzWakiweka Picha niite Chidi Benzi.
ilalaaaaa.Chidi Benz
Chidiiilalaaaaa.
Kunisagia Kunguni asubuhi yote hi.
Achana na CCM maana naona Alzheimer's ishakudandia juu huko Lofa wewe.Chidii
Uongoo huo hakuna pisi humu😂😂😂😂😂si zani mkuu ni pisi kali