Mbona hela ya kawaida sana?[emoji3][emoji3][emoji3]! Yaani walau usikose emergency, nk nk! Means haitakutetemesha kutoa ghafla 500k[emoji126]
Ndo tunawashangaa hapo mnafeli wapiMbona hela ya kawaida sana?
Nilijua mabilioni labda.
Kitu imekwiva hii
Huyu kiumbe kaumbika