Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

no.ni kwamba tu black beuty hamjikubali.mimi napenda black beuty

Sio hatujikubali wengi hawaikubali. Black beauty but not attractive ndio maana unaona hata hapa picha ni za weupe au chocolate au hata matangazo mengi unakuta picha ni za light skin and not weusi wa mpingo.
 
Telegram. kaka kwa nini jin mkuu?
Majini ya telegram nayajua tu, ni huko huko! Kule hakuna wanawake kuna majini, yanat.ombana kama hayana akili!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio hatujikubali wengi hawaikubali. Black beauty but not attractive ndio maana unaona hata hapa picha ni za weupe au chocolate au hata matangazo mengi unakuta picha ni za light skin and not weusi wa mpingo.
basi kwangu mimi tofauti
 
Sio hatujikubali wengi hawaikubali. Black beauty but not attractive ndio maana unaona hata hapa picha ni za weupe au chocolate au hata matangazo mengi unakuta picha ni za light skin and not weusi wa mpingo.
black beuty not attractive??? tusubiri comments za wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…