Nishajua huyo mwamba hahahah🤣🤣🤣[emoji1][emoji1][emoji1]ukimjua hautomla, kuna dogo mmoja malaya sana wa tarime alikuja nako hako ka binti kwenye party akanambia kakalipia ndege kutok dar yan nilivokaona sikuiyo na swiming suits zake nkabaki nacheka tu moyoni, tunavurgwa sana na hizi picha ila ukiwa nae nakuhakikishia utajitia muda na pesa yako.