Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Wanaume wengi wa kizazi hiki, kwa hii sheria, mbinguni tutakusikia kwa mbali.Mathayo 5:27-28
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’ Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, ling’oe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa Jehanamu.View attachment 3234475View attachment 3234476View attachment 3234477View attachment 3234478View attachment 3234479
Kwako pia mkuuUsiku mwema mrembo