Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Duuh bc apewe sawa na matendo yake
Daaah jaman h nini tena.? Ww n mtu wa pili unaniambia mademu wamefariki (picha mbili tofauti nikozopost) ina maana mm napost marehemu tuu [emoji24][emoji24][emoji24]
Huyu alikua celebrity huko kwao zimbabwe hata millard kampost you tube,, sema huyu ajali ndo imemuua walikua wanatoka kwenye birthday party yake gari yao ikagongana na gari kama 2 hv then ikaenda kugonga mti ikawaka moto, nadhan mili yao iliungua kasoro wa dereva ambaye jamaa alikua na jiwe chafu sana bilionea ginimbi
 
Daaah pole yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…