Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
[emoji3][emoji3] Mwamba seems siku hizi hutumii kabisa single line mpka upite rough roadMashine kama hii kama unafanikiwa kuitindua mtaro yani Dah Raha hazina mfano kabisa aisee
Duh hi mchina
Anasbo tena😂[emoji3][emoji3] Mwamba seems siku hizi hutumii kabisa single line mpka upite rough road
Huyu wa mwisho Nmemuelewa sana Dah
We mwenyewe umejiharibia mi napishana na shemeji yenu humu wala hanijui namuonaga na I'd yake Sana anatusema wanaume tunaonunua chipsi funga kumbe na mi npo na sometimes nam quote kabisa [emoji23]Naona kuna haja ya kufungua I'd mpya kwa ajili ya uzi huu mana h verified itaniharibia kwa wahusika wenyewe mana itakuwa rahis kwao kunijua
[emoji3][emoji3] Mwamba seems siku hizi hutumii kabisa single line mpka upite rough road