Hizi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hizi sio zangu hizi.. Nyama ya sambusa ndio tamu sana
Vitamin B completelyKwa makusudi kabisa nimeamuwa kuharibu huu uzi.View attachment 1433758
kama hujaelewa soma comments.
Sema nikufanyie mpango... Bila connection kule hufiki
Huyo ataliwa mzee.. mda mrefu nipo nje ya Dar es Salaam. Wadau washasema 2 mill nakula kitu. Na mie hiyo budget nimeishamtengea kabisaa.. siku nikifika Dar kazi ya kwanza ni hiyo .. hadi tumchakate kwanza
Nifanyie mpango mkuu na mimi nifike kwenye hivyo viwanja classicSema nikufanyie mpango... Bila connection kule hufiki
Jr[emoji769]
Mkuu huyu ni nani?