Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Wakuu naomba mnipe connection,
Ni sehemu gani ndani ya Dar Wachina wanapatikana? Maana nimesikia jinsi wanavyoulilia mjegejeo ni kama simu zao (Xiaomi/Redmi) jinsi ile milio ya kuitia inavyolia!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Sema viwanawake vya hivi vina mdomo balaa. Unaeza sema tu chakula kitamu ila chumvi imezidi kidogo ikawa kesi. Yaani hata kakiwa kana kunawisha mikono utasikia....."nawa,chumvi isije ikazidi mikononi",kakikupa labda juisi utasikia....,..."onja nayo isije ikawa ina chumvi",mkienda lala utasiki,"ngoja nilale ukutani nisije nikakupaka chumvi".

Yaani hiyo chumvi itaimbwa wiki 8[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…