Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

Vingine vizuri usoni tu ila vina mauchi mabovu wala sio matamu vya bariiidi kama barafu

Mpe anae kupa
 
  1. Mnajua kuwepa Picha ya mtu HUKU KWENYE MEDIA BILA RUHSA YAKE NI KOSA KISHERIA???
  2. NAOMBA MODERATOR AONDOE HII POST kuepuka usumbufu
 
  1. Mnajua kuwepa Picha ya mtu HUKU KWENYE MEDIA BILA RUHSA YAKE NI KOSA KISHERIA???
  2. NAOMBA MODERATOR AONDOE HII POST kuepuka usumbufu
Unajifanya unajua sheriiiiiaaaa kumbe hewa tu.......


Kumpiga picha mtu bila ridhaa yake na kuiweka kwenye mitandao kisheria hairuhusiwi [usiniambie kifungu gani]

Kinacho fanyika hapa ni sawa na kuchota maji kwenye mto na kuyamwagia baharini....

Picha zote zilizo wekwa hapa zinatolewa mitandaoni na kuwekwa hapa watu watoe streesss za siasa..,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…