Kuna wale mabinti watatu walitikisa mitandaoni. Wana miguu mizuri,shape na miss bantu,sema walivaa mini. Walitikisa mitandaoni. Kama humu hawamo,basi ni makosa
Kweli kabisa hata akiwa na akili vip bdae zinahama zinahamia kwenye makaliosio nna wivu ila mwanamke akiwa na makalio makubwa mie nahis huwa wanawaza kimakalio tu !akil izooote zinahamia huko !lol!
Huu ndio uzuri wenyewe. Siyo hao wengine warembo nyie mnasema ni wazuri..
atukuzwe aliejuu kwa uumbaji wake usio wa mfano
Unajifanya unajua sheriiiiiaaaa kumbe hewa tu.......
- Mnajua kuwepa Picha ya mtu HUKU KWENYE MEDIA BILA RUHSA YAKE NI KOSA KISHERIA???
- NAOMBA MODERATOR AONDOE HII POST kuepuka usumbufu
Kaumbika macho mtoto,