Huyu mwalimu alisababisha mwalimu wa taaluma na mwalimu mkuu wakapigana mapanga kwa sababu yake,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] sijui wote walikua wanafukuzia hii pisi,
.Ziwa Victoria... hapana hili ni ziwa Tanganyika...
Ukitaka kupost inakuonyesha niniWakuu
Habarini?
Naomba kuuliza Je, hili tatizo ni kwangu tu ama kuna wengine pia limewapata?
Siwezi kupost picha yoyote
ni Kama vile nimefungiwa!
Huyu dogo namfahamu, ni mbishi balaa na ana miaka mi 3,... kanabishana na mama ake...πππ
Hapo cjui tatizo ni Nini labla ungewachekHili ni tangu Juzi
ni baada ya posts zangu nyingi kufutwa pia
Leteni connection pics tu hazisaidii