Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

"Wanaume wanaoigiza pono, wanafaidi sana"
-Mdau toka DM
Hawafaidi cho chote. Wakati wa ku-shoot kunakuwa na watu zaidi ya sita pale. Kuna wa makamera kama watatu hivi wanachukua kila angle, kuna mtu wa lighting, observer...na sijui wa nini. Na kuna kurudia rudia sana scene moja inaweza kuchukua hata masaa matatu....Hiyo final product unayoiona imekuwa edited sana. Wakati huo umekula ma-viagra moyo unakuenda mbio...siyo kazi rahisi kama unavyodhani; ndiyo maana ukiwaangalia hata hisia hawana. It is pure business!
 
True💯... Pale ni biashara, hakuna privacy
 
"Wanaume wanaoigiza pono, wanafaidi sana"
-Mdau toka DM
Ukifikiria NI ukweli maana wanapata fedha baada ya kuigiza na Raha ya 6*6 ...Ila risk ndo km kupata magonjwa ya zinaa km ukimwi...kuna documentary moja Niliona mwamba mmoja black porn actor aliipatia possibly wakati anashiriki kwenye video huko brazil

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila ukweli Mzee......

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Niliwahi iona Behind scene moja ya Chorokee dah, walivyokua wanamfanya sio poa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…