Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Wewe jamaa ni ngumu kuelewa kinoma.. Hizi picha zitafanya hadi hii thread ifutwa.. Siyo lazma wawe wamekaa utupu wajameni...PundamiliaView attachment 1474743
Anarudi chuo huyu... [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1470379
Hawajui kama yupo mnyama CORONANani kakuambia ukimwe unaua.. 😬😬 Kifo kipo tu usipokufa kwa maralia kipindua pindua kipo.. na usipo kufa kwa kipindua kansa ipo na usipokufa kwa kansa utakufa kwa maumivu ya kichwa au msongo wa mawazo
Hatutaki mawaidha hapamsisahau UKIMWI bado upo na unauwa.
utapata kazi ya kumeza dawa kila siku hadi mwisho wa uhai wako.
Acha tamaa jali afya yako epuka ukimwi
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji2817][emoji2817][emoji2817]PundamiliaView attachment 1474743
Tafta jina la chuo utupeHiki chuo kipo Moshi nimekisahau jina..View attachment 1474660 kina pisi Kali balaa
MucobsTafta jina la chuo utupe
Kuna mwamba ana address yake huyo manzi
Hahaha mwamba unayumba sasanatafuta gari aina ya pejoti, nitapata
Ntampataje nipe connectionKuna mwamba ana address yake huyo manzi
Mwamba ume data na mtoto wa uswahilini