Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Salute comrades,
Nimefikiria kuanzisha hii chat kwa wale tunaolala saa nane usiku(2 am) au kuamka saa kumi na moja alfajiri (5 am) sababu ya majukumu mbalimbali ili tuweze kushare vitu mbalimbali kama vile:
1) Tips za kuwa productive kazini.
2) Work-life-family balance.
3) Diets.
4) Life hacks.
5) Sehemu tulivu za starehe.
6) Vinywaji.
7) Kufahamiana.
8) Kupeana deals na michongo.
Na mambo mengine ya muhimu.
Nimefikiria kuanzisha hii kitu sababu December huwa ni mwezi wa likizo lakini nipo hapa town ila watu wamepoteza kabisa ule utamaduni wa kukutana na kushare mambo mbalimbali.
Nilikua nmezoea miezi hii tunakutana watu kama sita hivi au zaidi kushare mambo mbalimbali lakini wengi wamepotea kwenye machimbo tulozoea kukutana. Wengi tumekua kwenye media 24/7, so ni bora tutumie media kushirikishana mambo yatakayorahiisha maisha yetu.
Karibuni.
Nimefikiria kuanzisha hii chat kwa wale tunaolala saa nane usiku(2 am) au kuamka saa kumi na moja alfajiri (5 am) sababu ya majukumu mbalimbali ili tuweze kushare vitu mbalimbali kama vile:
1) Tips za kuwa productive kazini.
2) Work-life-family balance.
3) Diets.
4) Life hacks.
5) Sehemu tulivu za starehe.
6) Vinywaji.
7) Kufahamiana.
8) Kupeana deals na michongo.
Na mambo mengine ya muhimu.
Nimefikiria kuanzisha hii kitu sababu December huwa ni mwezi wa likizo lakini nipo hapa town ila watu wamepoteza kabisa ule utamaduni wa kukutana na kushare mambo mbalimbali.
Nilikua nmezoea miezi hii tunakutana watu kama sita hivi au zaidi kushare mambo mbalimbali lakini wengi wamepotea kwenye machimbo tulozoea kukutana. Wengi tumekua kwenye media 24/7, so ni bora tutumie media kushirikishana mambo yatakayorahiisha maisha yetu.
Karibuni.