Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
-
- #21
Watu hawataki kujifunza so nimeamua kutulia mpaka hapo mtakapokua tayari nisije nikawa najifundishaJe hutachoka njiani?
Je huta amishia kwenye wasap group kwa malipo?
Muda utasema how serious you are?
Umejuaje kuwa hawafuatilii somo?Watu hawataki kujifunza so nimeamua kutulia mpaka hapo mtakapokua tayari nisije nikawa najifundisha
Be blessed!Habari Wanajamvi baada ya kukaa na kufikiria nilipitia nyuzi nyingi zinazo husiana na web development ila sikupata nilicho hitaji.
Kwenye huu uzi nitafundisha HTML, CSS na JAVASCRIPT kwa lugha isiyo sanifu na fupi kufanya kueleweka sana.
Pia Uzi huu utumike kama mahala pa kuuliza chochote kuhusu webdevelopment iwe error kwenye codes na vingine.
Ikiwa unaproject au chochote zaidi unahitaji kushare kari ujiunge hapa.
TechTalk
Basi nitaanza na Utangulizi juu ya HTML ,CSS na JAVASCRIPT chapchap kwa lugha nyepesi.
Tukianza kwa HTML kirefu chake ni "Hyper text markup language" Hii sio programming language bali ni Markup Language hii ni kama mifupa ya website inayotengeneza structure nzima ya ukurasa wa tovuti yetu.
Tovuti ni muunganiko wa kurasa tofauti tofauti za HTML ndani ya HTML tunaweza kuingiza codes nyingne kama CSS na JAVASCRIPT.
CSS kirefu chake ni "Cascanding Style steet" Hii tunaweza fananisha na kuweka ngozi na rangi rangi yaani kustylesh page zetu ili kufanya page kupendeza.
Mfano : Binaadamu Mifupa nilisema ni HTML nikaja nikaweka CSS nikama kuweka Ngozi nywele kucha na kumpaka markup ili apendeze yaani ni kuarrage na kuvipa muonekano gat au ellement za HTML.
JAVASCRIPT hii sasa ni programming language hapa tutaweza kutengeneza Functions kwenye page zetu hata pia kuunda cookies
Kwenye Mwili wa Binaadamu ninaweza sema ni kama Misuli.
Mpaka hapo unamwanga ngoja nivute pumzi alafu ninakuja kuanza rasmi na HTML leoleo.
Utangulizi jinsi ya kudownload na kuinstall mahala pa kuandika codes
1.Html Somo la 1
2.Html somo la 2
Endeleza somo mkuu, tables, listing etc 😃😃
Poa , thanks. Leta codes brotherHaya waungwana poleni kwa kungoja leo tunaendelea na hii short coz yetu leo ningependa kuzungumzia baadhi ya tag za html ambazo sikuzingusia hapo awali ili iwe rahisi na kufupisha baadhi ya vitu hivi
Zifuatazo ni tag ambazo tunaweza kuzitumia
1.<header> : Hii huelezea kwamba hiki ni kichwa cha mahudhui
2.<span> : Hutumika kuongeza Css ndani ya content ya tag nyingine , tutaona mfano hapo mbeleni
3.<li>: Hii inamaanisha unaweka orodha yaani list ndani ya html tag hii huwa na watoto wawili ambao ni <ol>: Inamaanisha orderd list(orodha ambayo imepagwa kuanzia 1 na kuendelea) , <ul> : Inamaana ya unoederd list (yaani orodha haijapagwa na huana nukta mwanzoni)
4.<marquee> : Hii hufanya text zisogee kutoka kulia kuja kushoto"ila unaweza kutumia css kubadili muelekeo wa maandishi.
5.<div> : Hii hutumika kujumuisha tag tofauti ili kuweza kutumia script au css moja kwa zote (samahani nimekosa kiswahili kizuri ila mbele tutaelewana)
6.<center>: Hufanya content zote za tag kuonekana katikati katika device ya mtu
7.<footer> : Ni tag la ungo la chini kabisa katika webpage
8.<img>: Hutumika kuadd picha katika page
9.<a>: Hutumika kuadd link
HOMWORK TAFUTENI TAG AMBAZO SIJAZIWEKA
NINAANDAA CODES NA NINAWEKA LEOLEO NIKIJUMUISHA TAG ZOTE TAJWA HAPO JUU
<nav> </nav>Haya waungwana poleni kwa kungoja leo tunaendelea na hii short coz yetu leo ningependa kuzungumzia baadhi ya tag za html ambazo sikuzingusia hapo awali ili iwe rahisi na kufupisha baadhi ya vitu hivi
Zifuatazo ni tag ambazo tunaweza kuzitumia
1.<header> : Hii huelezea kwamba hiki ni kichwa cha mahudhui
2.<span> : Hutumika kuongeza Css ndani ya content ya tag nyingine , tutaona mfano hapo mbeleni
3.<li>: Hii inamaanisha unaweka orodha yaani list ndani ya html tag hii huwa na watoto wawili ambao ni <ol>: Inamaanisha orderd list(orodha ambayo imepagwa kuanzia 1 na kuendelea) , <ul> : Inamaana ya unoederd list (yaani orodha haijapagwa na huana nukta mwanzoni)
4.<marquee> : Hii hufanya text zisogee kutoka kulia kuja kushoto"ila unaweza kutumia css kubadili muelekeo wa maandishi.
5.<div> : Hii hutumika kujumuisha tag tofauti ili kuweza kutumia script au css moja kwa zote (samahani nimekosa kiswahili kizuri ila mbele tutaelewana)
6.<center>: Hufanya content zote za tag kuonekana katikati katika device ya mtu
7.<footer> : Ni tag la ungo la chini kabisa katika webpage
8.<img>: Hutumika kuadd picha katika page
9.<a>: Hutumika kuadd link
HOMWORK TAFUTENI TAG AMBAZO SIJAZIWEKA
NINAANDAA CODES NA NINAWEKA LEOLEO NIKIJUMUISHA TAG ZOTE TAJWA HAPO JUU
Vizuri sana ngoja nitengeneze code zitakazo kuwa na hizo tag pia<nav> </nav>
<button></button>
<hr></hr>
<form></form>