Special Thread: Trending Now in Kenya

Siku gani hii mkuu na mbona haijasikika.
Watanzania kawaida sio watu wa makelele sana, wala sio watu wanaopenda sifa, ingelikua majirani zetu wa Uganda, hizo kelele zingefufua hata waliozikwa kaburini[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Watanzania kawaida sio watu wa makelele sana, wala sio watu wanaopenda sifa, ingelikua majirani zetu wa Uganda, hizo kelele zingefufua hata waliozikwa kaburini[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hahaha... majirani zetu wa uganda?. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

hapana kaka, waganda hawana mambo hayo.... bila shaka ulimainisha wakenya.
 
hahaha... majirani zetu wa uganda?. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

hapana kaka, waganda hawana mambo hayo.... bila shaka ulimainisha wakenya.
Hapana, mimi Kenya ninawaheshimu sana, siwezi kuwasema vibaya, kuna bint ninataka kwenda kutoa mahari. Mimi nijuavyo wakenya ni watu humble sana, hawana makelele wala hawapendi kujisifia.[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…