hakuna msanii hapo..Jaguar and prezzo release a hit Timika...grudge iliishaView attachment 765370 View attachment 765373 View attachment 765374
no he didn't came at all.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikua anakuja charity work kusaidia wanyonge
You foolestest creature everFoolest is not a word fool.
Gabu anafaa kuimba na sheng,na genre yake ni kapuka ama genge,Nyimbo kama hizo haziezi mfaa Gabu...ukieza kumbuka wakiwa Punit walikua wanawika sanamy favourite jam from a kenyan(gabu). haki hii ngoma ni moto sana. [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
shot in dar es salaam by a tanzanian youngest and baddest music video director, hanscana.
ila wakenya ni ma-snitch sana na hampendani, ngoma kali kama hii haikutakiwa kuwa na views chache, ilitakiwa iwe inacheza kwenye 1 million views.i'm so disappointed.i think mpo allergic na good music.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
kapuka is a dead music.Gabu anafaa kuimba na sheng,na genre yake ni kapuka ama genge,Nyimbo kama hizo haziezi mfaa Gabu...ukieza kumbuka wakiwa Punit walikua wanawika sana
Timmy Tdat genre yake ni gani?...Na bado anavuma ako na ma show kila siku..ako na pesa sai mbayakapuka is a dead music.
hiyo kapuka kwa generation hii ya sasa atasikiliza nani?. labda wakora na wale mayouth wanaoshinda kwa street waki chew miraa.
huwezi kupata mtu decent anasikiliza kapuka kwa sasa.... ndio maana gabu kaamua kubadili style. sisi wabongo tumemuelewa.
that's the reason why your music is stagnant..it won't get anywhere far if your artist will relay on singing genge and kapuka.Timmy Tdat genre yake ni gani?...Na bado anavuma ako na ma show kila siku..ako na pesa sai mbaya
huyo timmy tdat huku tz hakuna anayemjua, ndio kwanza hiyo jina nimeisikia leo... anajulikana huko huko kenya na county zake. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Timmy Tdat genre yake ni gani?...Na bado anavuma ako na ma show kila siku..ako na pesa sai mbaya
Anawika sana kenya ata Uganda...Tz hawezi juu ya style yake.huyo timmy tdat huku tz hakuna anayemjua, ndio kwanza hiyo jina nimeisikia leo... anajulikana huko huko kenya na county zake. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anawika sana kenya ata Uganda...Tz hawezi juu ya style yake.
Unaelewa meaning ya hub of entertainment wewe...kwanini diamond katolea Album Nairobi,kwa nini wasanii wenu wako hapa kila weekend?tanzania ndio hub kubwa ya entertainment east africa,all east african artist are struggling to make sure their names are widely known in tanzania.
kama msanii toka nchi jirani hafahamiki tz, basi huyo atabaki kuwa msanii mchanga for the rest of his music career. atabaki ku performe kwa counties hall na mashinani mpaka uzee wake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ever asked yourself why many kenyan artist are forced to do music collabos with tanzanians?.i hope you know the answer.Unaelewa meaning ya hub of entertainment wewe...kwanini diamond katolea Album Nairobi,kwa nini wasanii wenu wako hapa kila weekend?
Usitamani kumsikiza Timmy T.dat. Ukweli usemwe. Line yake famous, 'eti huko nyuma umejaza kaa diaper!' What the fudge!????? Les Wanyika wakiskiza line kama hizi bila shaka lazima watajitia kitanzi.huyo timmy tdat huku tz hakuna anayemjua, ndio kwanza hiyo jina nimeisikia leo... anajulikana huko huko kenya na county zake. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahaha... asante sana msee.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Usitamani kumsikiza Timmy T.dat. Ukweli usemwe. Line yake famous, 'eti huko nyuma umejaza kaa diaper!' What the fudge!????? Les Wanyika wakiskiza line kama hizi bila shaka lazima watajitia kitanzi.