Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
πππ Mtandao mwema sheikhHapana Mufti
Happanaπππ Mtandao mwema sheikh
Ni nyota ya kimaviDAH QMMMMMQ hii ni Laana, Joe Navarro yuko sahihi
madem wananipiga kibuti ila Komwe ananitaka
Kuna Manzi nilimtokea humu daah. Kumbe kunae mwenzie alikuwa anataka asiende mwambia jamaa anapenda tgo.Happana
sihitaji hiyo thawabu hata hivyo sikuiuliziaUnakosa swawabu ww acha mikazo Anko
cheki na anko Lloyd, ana totoz nyingi sana humu anajuana nazo, hamtoshindwanaKuna Manzi nilimtokea humu daah. Kumbe kunae mwenzie alikuwa anataka asiende mwambia jamaa anapenda tgo.
Ndo bas tena
Am on the run nikifika nitachajChaji simu kwanza
Kunae moja nimeona wanaambian nimekumiss daaah ss lini watatuambia hvcheki na anko Lloyd, ana totoz nyingi sana humu anajuana nazo, hamtoshindwana
Watatuambia fara wwπ³π³ sheikh kwema huko ?
phaller mwenyewe, silali na deniWatatuambia fara ww
ππππππππ Wanaume ni wambea kuliko wanawake.... Honourable madam Samia said.Umbeya na mwanaume havishikan
Joe matusi ya nini Tena... ππππWatatuambia fara ww
Raisi siriaz anasikiza taarabππππππππ Wanaume ni wambea kuliko wanawake.... Honourable madam Samia said.
Huna adabu mama yako unamwambia anasikiliza taarab...Raisi siriaz anasikiza taarab
Oya wee weeHuna adabu mama yako unamwambia anasikiliza taarab...
max hebu tupe namba ya huyu kijana tumshughulikie. π¬π¬
Freemason ni watu Kama wewe, tofauti ni maarifa, vyeo, utu, fala wewe. ππOya wee wee
Mbona freemasons sio wambeya
Freemason ni watu Kama wewe, tofauti ni maarifa, vyeo, utu, fala wewe. ππ