Ni nani kumbeSio ww huyo
Ni kweli kabisaaaNi Bahati iliyoje kukwepa ulevi kwa binadamu
Utasikia mm sitaki leoNi nani kumbe
HahahaUtasikia mm sitaki leo
Utaletewa watotoHahaha
Leo sijisikii vizuri
HahahaUtaletewa watoto
Kwanin donatila!?Nimependa hii
Yani wanatudharau mno..ila wapotezee..Hata wahudumu wa bar wanatudharau Wanywa maji na soda yaani wanachelewa kukuhufumia au kusahau na kurudi Tena kuuliza ....
Yote Tisa kwenye sherehe mbalimbali mf. Harusi na send off kamati nyingi huamua kua wasiokunywa pombe wawekewe 'soda' huku wakiweka aina kibao za Pombe , ni kamati Chache ambazo hujielekeza kwenye baltika , bavaria na juice mbalimbali
Yeah ulevi wao unakuwa huoKwani wasiokunywa ulevi unakuwa kwenye 'kwichikwichi'?
Aiseee! Kumbe mnatuenjoy...Ha ha haaa...yani mkinywa mnakuwa vituko fulani, ila sio wote...
Food is the basic need...huwezi kuishi bila kula na kila mtu anakula...pombe sio basic need...we umemshangaa mtu anayeishi bila kunywa pombe..ndo nikakuuliza hiyo mipombe unayokunywa inafaida gani zaidi ya kukujazia mikojo tumboni...mi naweza ishi bila kunywa hiyo mipombe..sasa wewe kama kidume kweli ishi bila kula chakula...usifananishe basic need na mambo ya kipuuziKwahiyo ww unavyokula unajaza mavi tumboni?