chukua 1.1m kakakuna lg 49UF770T mpyaa ni 49inch 4k smart ina warrant yake ya mwaka mmoja ni full box na lailoni zake kama unaitaka nicheki kwa no 0716917896 bei ni 1.7m fixed
mkuu bei fixed hio....means ata north korea arushe kombora bei ndio hio hio 1.7 mzigo latest huochukua 1.1m kaka
boss hiyo labda ingekuwa ya 1080p hii ni 4k 1.1m hapana ni chini sana hadi dhambichukua 1.1m kaka
mkuu kama mpaka jpili aujapata hio 32 smart nicheck 0629565168 nitakuwa nayoSmart
Haier smart tv, au tcl smart kwa 450000 tuNatafuta ya nchi 32 bajeti yangu ni 650000 nitapata aina gani nzuri na yenye ubora kwa bei hiyo
Iwe smary
450000TCL OG nch 32 smart, nipe bei
Upo wapi nahitajiLCD za kingereza inch 20, 22......bei 190000 kwa 22 na 170000 kwa inch 20
Kampuni hii ambazo sio smart unauza je?Haier smart tv, au tcl smart kwa 450000 tu
0777650286 & 0718919725
Wapi Location450000
Na je iko connected na king'amuzi moja kwa moja?450000
Zanzibar, lkn pia tunakusafirishia popote ulipo tz, 0777650286 & 0718919725Wapi Location
Ndio mkuuNa je iko connected na king'amuzi moja kwa moja?
Ok tutatafutana,Ndio mkuu
Ok tutatafutana,Ndio mkuu
In shaa AllahOk tutatafutana,