Shukrani0629 565168 kwa call or whtsapp
Poa mkuuShukrani
Sisi wa mikoani tunakupataje mkuu na vipi kuhusu malipo....panasonic led (plasma display) 42 inche....hdmi, usb,memor card,vga, av, scart, audio port, internet port,....bei 650000
Call or whtsapp 0629565168Sisi wa mikoani tunakupataje mkuu na vipi kuhusu malipo
Ziko samsung inch 42 used nje tu kwa laki 6.Natafta TV lg au Samsung nchi 40 kuendelea bei isizidi 600,000 HDMI, pia mtumba sio mbaya Niko songea
Naweza kufanya malipo kidogo kidogo yakikamilika mnanipa changu..0629 565168 kwa call or whtsapp
InawezekanaNaweza kufanya malipo kidogo kidogo yakikamilika mnanipa changu..
Najiandaa Kwa World Cup
Nchi 21-26
Mkuu tunazo star x 43" kwa 620000, ila hiyo ni bei ya kununua tu hapa zanzibar, mpaka ikufike huko ni 670000Nahitaji TV LED inch 43,,, Iwe LED
Budget yangu 630,000/=, nipo DSM.
SALUM S HEMED , Algeciras , Abdulwahid
Weka hapa nitakutangazia buree
Samsung smart 3D 40"
Price: 850000
Contact: 0777650286 & 0718919725