Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
ndo tatizo la jf,kuna uzi kule uchumi na Biashara jamaa kauliza gharama ya kujenga nyumba vyumba vitatu,dinning,sebule na choo daah wameibuka watu wanamuambia kwa uchache andaa milioni 200😀😀😀 si balaa hiloWatu wengine mnajifanya mko update mkiletewa izo tv mnaufyata, nivile tu mtu anataka aonekane yuko latest
Kipindi cha nyuma walikuja kwa kasi nzuri kweli kutwa nilikuwa sipitishi siku bila kuangalie yaliyomo.Nadhan kilichowafanya kutoendelea ni ujuaji wengi wa watu wa uku na kutouzika kwa biashara zao km walivyoweka matarajio yao.Ili jukwaa limebaki nyumba la maonyesho siku hizi yanii wale makonki wa kupost item wameacha km sio kususa kabisa..
Samahani mkuu kama sikosei iyo bei apo inasomeka Million 5 je ndo bei sahihi au nimakosa yakiuandishi?[emoji120]Samsung led Panel tv inch 55 zipo 4...55×4.....bei 5000000/=
Ina port zote za kisasa yani hdmi, usb, vga, audio out port
unaweza kuitumia kama projecta, presentation ktk collage, offisini, ktk mabanda ya kuonyesha mpira, matangazo ya kampuni n.k
#kazkaz [emoji123] [emoji123]View attachment 954650View attachment 954651
Kama bado unahitaji tv karibu dukani kwetu kariakoo Msimbazi 0717016789Wahenga next week nitakuwa jinini, ni maduka gani hapo Dar naweza pata smart tv genuine kwa bei nzuri. Nimeplani nirudi mkoani na Inch 43 ya boss, Evvoli au Sharp.
Mkuu kuna duka lipo posta linaitwa clock tower shop linauza TV genuine kwa bei poa. Wana brand za Hisense na Sharp.Wahenga next week nitakuwa jinini, ni maduka gani hapo Dar naweza pata smart tv genuine kwa bei nzuri. Nimeplani nirudi mkoani na Inch 43 ya boss, Evvoli au Sharp.
Duuh vitu vizuri vinakujaa akati ushatoaa pesaa[emoji26][emoji26]Flat Tv star x IPO full na box lake tunaitoa Kwa 350000 na tunakupa stand ya ukutani free nicheki 0762612213 IPO dsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kuna uzi ulianzishwa ukituhumiwa humu ndaniYes mtwara MOJA...shukran pia mdau wangu wa nguvu pande hizo hapo....KAZKAZ[emoji123][emoji123][emoji123]
Picha weka hapa Mbona kanuni za matangazo jf ziko wazi tafadhali mwenye muongozo aweke link hawa wengine ni wageniNami ninayo used sony tv inchi 21 nataka elfu 50 tu fasta kwa picha ni pm
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Samsung led Panel tv inch 55 zipo 4...55×4.....bei 5000000/=
Ina port zote za kisasa yani hdmi, usb, vga, audio out port
unaweza kuitumia kama projecta, presentation ktk collage, offisini, ktk mabanda ya kuonyesha mpira, matangazo ya kampuni n.k
#kazkaz [emoji123] [emoji123]View attachment 954650View attachment 954651
Mpya au usedFlat Tv star x IPO full na box lake tunaitoa Kwa 350000 na tunakupa stand ya ukutani free nicheki 0762612213 IPO dsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje mkuu mpka ikawa hivyo?SALUM S HEMED nipatie tv zangu tutafikia sehemu ambayo sihitaji tufike
Sent using Jamii Forums mobile app