Pia ina internal memory unaweza record vipindi ukaangalia baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anajitia anajua Sanaa achana nae abdulwahid. ivyo vitu anavyozungumzia anagoogle tu watu wakujua item juzi haoWajinga tu, wanajifanya wajuaji hawana lolote, wakiulizwa kwenye hizo rocu tv kuna nini cha zaida wanaufyata, rocu tv ni nini? Kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wapi natafta tv kwa ajili ya hostel yangu bajet elf 50Nami ninayo used sony tv inchi 21 nataka elfu 50 tu fasta kwa picha ni pm
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wafanya biashara wa kibongo tamaa mbeleNi story ndefu sana ila jamaa ana Tv zangu mbili tangia mwanzoni mwa December tumefanya biashara fresh lakini kupata mzigo wangu imekuwa mtihani...kuna hatua ambazo tayari nishazichukua na ninaamini kupitia haya ninayoyafanya sasa hivi tv zangu nitazipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna channel inaitwa ROKU ndio free hauitaji kulipia, ila Netflix, Hulu Plus, HBO NOW, VUDU, etc lazima ulipie ndio upate access ya streaming.Roku Tv ni current brand za TCL ziko enhanced na features nzuri zaidi tofauti na haya ma Golive tv hayana ishu yani na FYI zile apps unazoziona mle nyingi TCL wana mkataba nazo hivyo mtumiaji atakachohitaji ni bundle tu ku access content. Ila kwa android tv apps zile zile utalipia ili kupata contents.View attachment 995436
Naendelea kuzichanga changa mkuu Abdulwahid soon nitakuja kukuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aina gan ya tv zinafaaa kwa ajili ya kuoneshea kwenye banda umiza? Price pia na size.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shingapi 43"Kama unataka za bahati ndogo star x hutojutia, kuhusu size pia inategemea na bajeti yako, Lkn kama utaanza japo na 43" sio mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna channel inaitwa ROKU ndio free hauitaji kulipia, ila Netflix, Hulu Plus, HBO NOW, VUDU, etc lazima ulipie ndio upate access ya streaming.
Sent using Jamii Forums mobile app
Now days biashara iko mitandaoni lakini SALUM S HEMED anakubali kuchafuka na kuharibu biashara yake kwa kutokuwa mkweli na muanifu kutokana na hili siwezi tena kununua bidhaa mtandaoni
sema hana anaona shida, nami ashawahi kunifanyia usanii na pesa nilikua nishalipa, ila alichokuja kunitumia sichoNow days biashara iko mitandaoni lakini SALUM S HEMED anakubali kuchafuka na kuharibu biashara yake kwa kutokuwa mkweli na muanifu kutokana na hili siwezi tena kununua bidhaa mtandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah naona star x quality ya picha ni buree kabisaa.. Resolution yake ipoje kwan??Kama unataka za bahati ndogo star x hutojutia, kuhusu size pia inategemea na bajeti yako, Lkn kama utaanza japo na 43" sio mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unayejiita mtu Kati stress zitakuua sikujua km umekuja kulialia na Jf pia nilijua ni kule Instagram tu..wew lini umenunua item kwangu then aujaipata hio item?? THIBITISHA..swala lako ni police case umeshalifikisha ktk sheria Sasa mbona kila sehem nakuta mipasho yako? Mwanyamala,dukan magomeni, kigamboni..kama unafika mpka kwa fundi tv unashindwa kulipa cost za TV yako mbovu Hizo stress zako tafuta pakuzipeleka km mahakamni pia unaona sio sehem sahihi..I told u Sina sehem ya kuifadhi tv mbovu Wala Sina godauni la kupokea item mbovu..pia hapa sio sehem yangu ya kuzungumza ahadi yetu tarehe 20 nakusubirNow days biashara iko mitandaoni lakini SALUM S HEMED anakubali kuchafuka na kuharibu biashara yake kwa kutokuwa mkweli na muanifu kutokana na hili siwezi tena kununua bidhaa mtandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee wew Ticha Mimi sikujua km wew ni choko ningekuwa nishakupa stahiki yako mapema Sana japo huwa sifanyi machoko..yanii wew kila sehem ukisikia salum lazima usimamishe matako yako..nilikutumia item sio? Uliposema item ni tofaut na model uliyotaka je ukupata pesa zako? Na mbona uliendelea kuitaji item kwangu? Na hio simu anayotumia mkeo umeitoa wapi? Nilipotuma tv guard na HDMI balance yangu iliyobaki kwenu wew na mwenzio mlinimalizia?ulishawai kuona nalialia Nilishakwambia toka mwaka juzi Tabia za kichoko na za kimpunga acha wengine tumeshastaff kuwaingilia machokowabongo ujanja ujanja mwingi, yaani ku
sema hana anaona shida, nami ashawahi kunifanyia usanii na pesa nilikua nishalipa, ila alichokuja kunitumia sicho