Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Ulitumia njia gani mkuu? Maana kwa posta kuna tozo za VAT tu, kama mzigo umefikia viwango vya kulipia kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Posta hyo hyo mkuu,wale mamother pale ni wakuda kweli ukijumuisha na jamaa flan hivi ndo anayedili na hzo.hayo mahesabu niliyopewa nilichoka ikabidi nikalipie tu kwenye account yao nmb ninusuru mzigo wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo kwanza kuna wajinga na wajuaji wanalilia rocu tv
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Posta hyo hyo mkuu,wale mamother pale ni wakuda kweli ukijumuisha na jamaa flan hivi ndo anayedili na hzo.hayo mahesabu niliyopewa nilichoka ikabidi nikalipie tu kwenye account yao nmb ninusuru mzigo wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitumia aliexpress standard shipping au njia ipi maana mbona simu yenye thamani ya dollar 172 haijalipiwa hizo gharama au ilikuwaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…