Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
Mpya or used?Samsung smart 40"
Bei: 820000
0777650286 & 0718919725View attachment 1053559
Sent using Jamii Forums mobile app
Smart inaweza kuwa LED ila sio kila LED ni smart anyway ni hivi....Wakuu nitoeni ushamba kidogo (nataka kujifunza) eti nini tofauti kati ya Smart TV na LED TV?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip mkuu samsung smart 32" unazo na ni bei gani?Samsung smart 40"
Bei: 820000
0777650286 & 0718919725View attachment 1053559
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuupload picha haapa
Ipo wap hii?Star X 32"
Bei 290000
0777650286 & 0718919725View attachment 1053574View attachment 1053576
Sent using Jamii Forums mobile app
hili ni somo zuri nimeshaelewa sasa hapaSmart inaweza kuwa LED ila sio kila LED ni smart anyway ni hivi....
LED Ni aina ya technology iliyotumika kutengeneza kioo cha TV ambacho haili moto mwingi na huwa na kioo cheusi zaidi na kuna LCD na PLASMA hizi ni technologies za nyuma kidogo ambazo zilikuwa zinatumia aina ya bulb ili kuleta mwanga kwenye display pia kwa sasa kuna OLED na QLED ambazo ni latest technology za kioo cha TV na hufanya kioo kiwe chembamba zaidi hata kufikia mithili ya WEMBE.
UKIJA SMART TV ni aina ya mfumo endeshi wa TV yako sasa hapa kama unavoona kuna simu za kawaida na kuna smartphone na zaidi hizi SMART TV huipa uwezo TV yako kufanya mambo mbalimbali kama kuinstall APPs kwenye TV,Kustream Video kupitia sehemu kama YOUTUBE,NETFLIX,Kuchat FB,INSTA n.k kwa kutumia INTERNET aidha toka Kwenye Smartphone yako (WIFI) au kifaa chochote utakachotumia kushare hiyo NET.
Hiki ndicho nachoelewa mkuu ngoja manguli waje jazia na ninerekebisha pale nilipoteleza
PLASMA.
LCD.
LED.
OLED/QLED. kwa sasa
Ipo samsung nch 32 mzee,imekaa tu hapa ukutani,bei nipe 450,000/=,na kama unataka na king'amuzi kipo cha Azam..karibuMwenye LED TV ya SONY,SAMSUNG naomba offer yako ma picha inch 28 au 32 Iwe USED au Anaeuza duka la TV USED za Nje.karibu
Ahsante mkuu bei Mkasi sana kwa Used boss wnagu.Ipo samsung nch 32 mzee,imekaa tu hapa ukutani,bei nipe 450,000/=,na kama unataka na king'amuzi kipo cha Azam..karibu
Sent using Jamii Forums mobile app