Utaratibu ni kuwa tunatuma kwa basi unalochagua. Tunafikisha ubungo. Dereva anakupigia kukuambia amepokea tv gani. Unatuma tigopesa then dereva anakuja nayo.
Weka no mkuu tukutafute.na je unazo hzo tu au zipo aina nyingneTCL SMART TV inch 50.. 850,000 duka lipo magomeni mapipa opposite na crdb bank.. used tv ila condition yake ni kama mpya na warranty nakupa..View attachment 863324View attachment 863326View attachment 863327
Kwa hiyo Mkuu hiyo ndio class A pia au ili Kesho asubuhi na mapema tumalize biashara idy iwe nzuri kwanguHii ni Hisense model HX32N2176H.
Hisense wameanza kutengeneza TV baada ya ku-base sana kwenye AC na fridge.
TV zao ni nzuri sababu bado hazijachakachuliwa, ukipata zile class A hutajuta.
Tatizo lao kubwa hawajitangazi hivyo wengi hawajui products zao.
Mkuu Mr abdulwahid nimegugo nimetizama nikaona kua hiyo model wanatoa na free wall bracket je na kwako ni hivyo au
Mkuu hiyo ni model tu haihusiani na class.Kwa hiyo Mkuu hiyo ndio class A pia au ili Kesho asubuhi na mapema tumalize biashara idy iwe nzuri kwangu
Ndio nimekupata ndio maana namuuliza kua kwa item tajwa na maelezo aliyotoa je nitapata products ambayo mi class A au nitapata hizi hizi za bara la afrika ambazo kiuhalisia sio imara sanaMkuu hiyo ni model tu haihusiani na class.
Class za product za mchina huwa zipo tofauti kutegemea na soko lilipo.
Product ya mchina kwa ajili ya soko la ulaya au USA ni tofauti na huku Afrika. Ndio maana utasikia model aina moja ila ina class tofauti A, B au C.
Natumaini utakua umenielewa.
Mkuu kuna jambo nimekutumia PM unaweza kucheck.Ndio nimekupata ndio maana namuuliza kua kwa item tajwa na maelezo aliyotoa je nitapata products ambayo mi class A au nitapata hizi hizi za bara la afrika ambazo kiuhalisia sio imara sana
Ipo tcl tunauza 5mKwahiyo wauzaji wooote hakuna mwenye 75 inches UHD TV
Ipo tcl tunauza 5m
Ah ntakutumia model no utaangalia mwenywNaomba unitumie specifications zote tafadhali
Ah ntakutumia model no utaangalia mwenyw
Boss chukua 180kToa 220,000/=nikupe singsung inch 25 imetumika miezi 8 tu
Ukweli kabisa mimi nina 400000 cash kabisa hata tukionana sasa ivi.Star x led 43"
Bei 530000
0777650286 & 0718919725View attachment 1117298View attachment 1117299View attachment 1117300
Ukweli kabisa mimi nina 400000 cash kabisa hata tukionana sasa ivi.
Ungetupunguzia tu mkuu na sisi tumiliki vitu vizuri...Popote utakaipata kwa hiyo bei niambie na mm ntakupa 50000 kwa kila tv ntakayochukua, na ntachukua kama 100pcs