Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Wakuu mimi nna laptop yangu naiuza. Hiyo ni baada ya kumaliza projects nilizokua naitumia kuzifanya. Iko vizuri sana kwenye graphics, gaming na kazi nyingine zinazohitaji mashine yenye perfomance kubwa. Haina tatizo lolote. Features zake ni kama ifuatavyo;
Model: LENOVO IDEAPAD 320.
Core i5, 7th GENERATION.
RAM 8 GB, DDR4.
1000 GB (1 TB) HDD.
Total Video Graphics: 6 GB.
NVIDIA GRAPHICS, GeForce 940MX.
Dedicated: 2 GB
Display: 15.6 Inches.
High Definition (HD) Display.
Ina ports za USB 3.0 na USB Type C.
Slim Design.
Kwa sasa ina Windows 11.
Bei yake ni 900,000/= tu, maongezi yapo kidogo. Kwa sasa nipo Dar.
0626 614041.

View attachment 1980509View attachment 1980510View attachment 1980511View attachment 1980512View attachment 1980513
 

Attachments

  • IMG-20211020-WA0002.jpg
    20.3 KB · Views: 16
Kama flat tv yako ina changamoto imeharibika au haifanyi kazi (mbovu)
Karibu tukumalizie tatizo lako mara moja
Tatizo lolote la tv tunasolve..
Ofisi ipo ilala karume.
NB: KWA WALIOVUNJIKIWA VIOO VIMEKUA ADIM SANA.. NA CHANGAMOTO NI BEI..
Pia nanunua tv mbovu zilizoshindikana kama spea
Call/WhatsApp 0744680670
 

Kama itakupendeza kiongozi niko na LAKI 6. Nicheki PM tumalize bznes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…