korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
basi kaunganishe hzo 4[emoji16][emoji16][emoji16]4 sio masihara wewe zikiunganishwa zote size yake unaionaje?!
Kwa mbili ndio upimbi ila sio 4 asee
Huu utani sasaNataka tv 32 inch iwe smart tv offer yangu 200k
1.35mHadi dasilamu bei gani hizi?
HatunaHamna agent kwa Arusha kiongozi...?
Boss naomba page yenu ya instagramHatuna
tena utani mbaya,kama haujafika wakati wa kumiliki smart tv asilazimishe,atalizwa vibaya.Huu utani sasa
Iwashe tuoneHabari, Naitwa Emmanuel Laurent Mkazi Wa Temeke, Dar es Salaam. Nauza Flat Tv Brand ni Boss, Inch 42 Kwa Kiasi Cha Shilingi Laki 5. Mawasiliano 0621390287 kawaida hata kwa njia ya whatsapp
Hisence TV inch 43 Smart @780,000tsh.
Free delivery DSM.
Ofa inaisha ijumaa wiki hii.
Tupigie 0744551655 au fika magomeni mikumi.View attachment 2261617